tiko
tiko
Ndugu
wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii
blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote.
Wasiliana nasi kupitia namba +255757438866 / +255756315791. Tunashukuru
kwa ushirikiano wenu.
Ajali imetokea maeneo ya Mafinga mkoani Iringa sehemu inaitwa Changarawe ambapo gari aina lori lilokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mbeya ambapo lilikuwa likikwepa shimo kubwa lililopo katikati ya barabara hadi kupelekea kugongana na basi la abiria mali ya Kampuni ya Majinja lililokuwa likitoka Mbeya kwenda Dar es Salaam. Hii ni maelezo ya trafki aliyepo katika eneo la tukio.
.jpg)

Na
hawa waliopona inasemekana kwamba walirushwa korongoni kutokana na huo
mgongano uliotokea kati ya basi na roli lililokuwa limebeba Konteina.
Uokoaji
wa maiti na majeruhi walionasa kwenye ajali hapa eneo la tukio
unazorota kutokana na ukosefu wa Gesi ya kukata basi kukosekana Mafinga.
Juhudi zinafanyika ili kuweza kuokoa majeruhi pamoja na maiti.
ENDELEA KUTIFUATILIA KWA TAARIFA KAMILI
tiko
tiko

Post a Comment