Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Pale ambapo mtoto anachukua bastola na kuwapiga wazazi wake…

tiko tiko
boy yrs
Wazazi wana jukumu kubwa la kuhakikisha wanalinda watoto wao kila wakati ili waweze kuwa salama ikiwa ni pamoja na kuwaweka kwenye mazingira mazuri.
Lakini wazazi wa mtoto huyu wamejikuta wakiwa hoi hospitali baada ya mtoto wao wa miaka mitatu katika mji wa New Mexico kuchukua bastola iliyokua ndani ya mkoba wa mama yake na kuwafyatulia wazazi wake.
Justin Reymond ambaye ni Baba wa mtoto huyo alipigwa risasi ya sehemu ya mgongo huku mama yake, Gabrielle Burkhart ambaye ni mjamzito wa miezi nane naye akijeruhiwa vibaya katika bega lake.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia Twitter, Instagram na Facebook ukijiunga na mimi
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top