Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Hongera kwa kutimiza miaka 15 mastaa wetu wa WATEULE, hapa kuna PICHAZ za party yao pale CLUB 71, DAR…

tiko tiko
Image00008
Jana February 1 ilikuwa tukio jingine zuri kwenye burudani Dar es Salaam, kwa mara ya pili tulishuhudia wakali na wakongwe wa Hiphop Bongo, WATEULE wakiangusha bonge la show Club 71, Tegeta Dar es Salaam.
Hili lilikuwa tukio la kihistoria, kuwakutanisha wakali hao kwa mara nyingine kwenye stage moja ndani ya 2015 ambapo safari hii ilikuwa wakiazimisha miaka 15 ambapo fans walipata nafasi ya kuenjoy ngoma kibao za mastaa wa kundi hilo.
Mastaa wengine waliokuwa na mastaa hawa ni pamoja na MTo The P, Dayna, na Mansuli.
Hapa kuna pichaz zote kutoka kwenye show hiyo.
.
MTothe P
Image00004
Image00005
.
Mchizi Mox
.
Jafarhymes
Image00008
.
Jay Moe.
.
Soggy Dogg.
.
Msanii ROMA akiwa na fans wake stejini.
.
Msanii Dayna
Image00013
ROMA, Dayna na Mchizi Mox
Image00014
.
Mansuli
.
Image00018
.
Jafarhymes, Dayna wakiwa na shabiki wao.
Hakuna story itakayokupita mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top