Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

MKE WA KITIME AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI DAR

tiko tiko
Marehemu Janeth Joan Kitime enzi za uhai wake.
Muonekano wa kaburi la marehemu Janeth Joan Kitime baada ya kuzikwa siku ya leo katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Mwanamuziki mkongwe, John Kitime akiweka maua katika kaburi la mke wake.
Mzee Kitime na wanawe kulia wakiweka mchanga katika kaburi la marehemu.
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdallah Mrisho (kulia) akitoa pole.
Mzee Kitime akiteta jambo na msanii Dude.
Mmoja wa ndugu akijiandaa kuweka maua.
Kitime katikati akiwa na watoto wake wawili Ivan (kushoto) na Tina (kulia).
Wana familia wakiwa mbele ya kaburi la marehemu baada ya kuzika.
Wadau mbalimbali wakiwa kwenye msiba huo.

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI KUHUSU HABARI HII



tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top