Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

BREAKING NEWS: WAZIRI WA UCHUKUZI AMEMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MKUU WA BANDARI

tiko tiko
 Waziri wa uchukuzi amemsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa bandari Bwana madeni kipande kwa tuhuma za kukiuka maadili ya utoaji wa tenda na kuchelewesha zabuni zilizokuwa zinashinda kadhalika waziri huyo pia ameunda tume ya watu sita kumchunguza mkurugenzi huyo.

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI KUHUSU HABARI HII

tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top