tiko
tiko

Wanachama watano (5) wa klabu ya Simba ya Dar es salaam kutoka tawi la 
Mpira na Maendeleo (maarufu kama Simba UKAWA) ambalo limewahi kutangazwa
 kufuta wamefariki dunia katika ajali ya basi mkoani Morogoro.
Wanachama hao wakiwa katika basi lao walikuwa wakielekea Shinyanga kwa 
ajili ya kuipa nguvu Simba ambayo inatarajiwa kushuka katika dimba la 
CCM Kambarage kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa ligi Kuu Tanzania 
Bara..

tiko
tiko
Post a Comment