Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

............... .......UKWELI JUU YA KIFO CHA JOHN CENA.................

tiko tiko
https://fbcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-0/11008767_632536910212523_8604813151487977117_n.jpg?efg=eyJpIjoiYiJ9&oh=4b4a132309a3deac8f98e3ec5fd56694&oe=5577CFA0&__gda__=1434446794_3ff7a15cf02c1f530d0ced0c0121942a

Katika siku za hivi karibuni mcheza mieleka maarufu John Felix Anthony Cena amekuwa moja ya wahanga wa mitandao ya kijamii baada ya kuzushiwa kifo.
Habari zimesambaa kwa wingi mtandaoni kuwa Cena amefariki kutokana na majeraha aliyoyapata baada ya kupata ajali ya gari,vyanzo vingine vinadai Cena

amefariki baada ya kuumia kichwani alipokuwa mazoezini na mcheza mieleka mwingine maarufu Dwayne Johnson(The Rock)
Uongozi mzima wa WWE umekanusha habari hizo na kuziita habari zisizokuwa na tija zaidi ya kuzitafutia umaarufu baadhi ya media.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top