tiko
tiko


Chanzo cha ajali hiyo ni gari kubwa aina
ya semitrela lilikuwa limekata trela lake katikati ya bara bara kuu
inayoelekea Dodoma Inn, Na basi hilo inasemekana lilikuwa spidi sana na
bila kujua kuwa katikati kulikuwa na trela hilo na katika jitahada za
kujaribu kulikwepa liliingia kwenye mtaro na kugonga mti
ambao..Inasemekana hakuna aliyepoteza maisha ila majeuhi ni wengi na
wamekimbizwa katika hospitali ya General
tiko
tiko
Post a Comment