Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Mzee wa Upako: (Wakristo)Wasioenda Kanisani Jumapili ni Mafala na Mabwege

tiko tiko
Nimemfatilia channel ten wakati akiongoza ibada huku akishangiliwa na mamia ya waumini wake.. Kati ya mambo yaliyonistaajabisha ni lugha ya matusi.

Anasema habari ya mjini kwa sasa ni kusali.. Ila anamalizia kwa kuwaambia vijana wanaosema kila siku ni yale yale kanisani kwamba ''ibada haifanani acha ufala''.

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI KUHUSU HABARI HII

tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top