tiko
tiko
Mkutano huo wa siku mbili utaambatana na
mdahalo baina ya viongozi hao na wadau mbalimbali katika sekta za
biashara na maendeleo. Mjadala wa viongozi hao utajikita katika umuhimu
wa Ukanda wa Kati ambao ni kiungo muhimu katika ukuaji uchumi wa nchi
hizo kwa kuwa husaidia katika uingizaji na uuzaji wa bidhaa mbalimbali
kupitia Tanzania kwa njia za maji, reli na barabara. Wakati wa mkutano
huo, viongozi hao watafanya uzinduzi wa treni ya mizigo kuelekea Uganda,
Rwanda na DRC.
CHANZO: IRAN SWAHILI REDIO
tiko
tiko
Post a Comment