tiko
tiko
KANISA la Presbyterian nchini Marekani
ambalo lina wanachama milioni mbili, limebadilisha sheria yake ya ndoa
na kuwajumuisha watu wa jinsia moja.
Sheria yake mpya sasa itasoma kwamba
ndoa ni makubaliano ya kipekee kati ya watu wawili ikilinganishwa na
makubaliano kati ya mume na mke.
Uamuzi huo unatarajiwa kuzua mgawanyiko mkubwa kati ya wanachama wa kanisa hilo ambao wanapinga sheria hiyo.
tiko
tiko
Filed Under:
BURUDANI
Post a Comment