Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

BASI LA ARUSHA EXPRESS LAPATA AJALI ARUSHA

tiko tiko
Basi la Arusha Express baada ya kupata ajali.
Taswira kutoka eneo hilo la ajali.
BASI la Arusha Express limepata ajali leo maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Kisongo jijini Arusha wakati likijaribu kulipita gari ligine na kukutana na lori mbele yake.
Ili kuepesha madhara, dereva wa lori aliamua kuingia kichakani ili asigongane uso kwa uso na basi hilo.
Wananchi wakishuhudia ajali hiyo.
Katika ajali hiyo, hakuna aliyepoteza maisha isipokuwa watu ndani ya lori ndiyo wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top