Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Wiki mbili baada ya muigizaji wa Nigeria MUNA OBIEKWE afariki, mazishi yake ilikuwa ni jana #RIP

tiko tiko
Muna-Obiekwe-2-600x600
Wiki mbili zimepita tangu afariki, alikuwa staa wa movie za Nigeria, Muna Obiekwe ambapo sababu ya kifo chake imetajwa kuwa ni tatizo la figo ambapo hakuhitaji kuchangiwa chochote ili akapatiwe matibabu, mipango yake ilikuwa afanye event ili kile atakachokipata akafanye matibabu.
Mastaa mbalimbali, ndugu, jamaa na marafiki walikutana jana katika Jimbo la Anambra, Nigeria kufanya mazishi ya staa huyo jana February 3.
Muna-Obiekwe-2-600x600
Muna-Obiekwe-598x600
MUNA

Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top