Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Serikali imetoa tamko hili kuhusu kuitafuta ndege ya Malaysia MH370

tiko tiko
Malaysia-Airlines-Missing-Flight-MH370-Could-Be-in-Gulf-of-Thailand
Serikali ya Malaysia imetangaza kusitisha shughuli ya kuitafuta ndege iliyopotea ya MH370 na kusema wanachukulia kama ajali ambayo iliangamiza watu wote.
Tangu kuanza kutafutwa kwa ndege hiyo iliyopotea tangu March 8 mwaka 2014 wakati ikitokea Malaysia kuelekea China hakukuwahi kuwa na dalili yoyote ya kupatikana kwa watu wala kitu chochote kilichokuwa kwenye ndege hiyo.
Flight
Maafisa wakuu wanasema shughuli ya kuitafuta ndege hiyo bado inaendelea lakini wanahisi kwamba abiria 239 waliokuwa kwenye ndege hiyo wote walifariki.
rela
Mmoja wa ndugu wa marehemu waliopotea kwenye ndege hiyo akilia kwa uchungu
Hata hivyo Maofisa wa Serikali wa nchini hiyo walitoa taarifa leo na kusema ndugu na jamaa wa waathirika wa ndege hiyo watalipwa fidia.
Hakuna story itakayokupita mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top