Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

P-SQUARE KUMZIKA BABA YAO KESHO IJUMAA BAADA YA KUFARIKI MIEZI MIWILI ILIYOPITA!

tiko tiko

.

Mzee Moses Okoye na mtoto wake Peter wa P Square. Hii ilikuwa siku ya harusi ya Peter.

November 26, 2014 taarifa kubwa kutoka Nigeria ilikuwa ni taarifa ya msiba wa mzee Moses Okoye, baba mzazi wa mastaa wa muziki kutoka Nigeria, P Square.

psquarep

Tangu mzee huyo afariki ni miezi miwili sasa, yamepita matukio mengi huenda tukawa tumeanza kusahau tukio hilo, story iliyoko mitandaoni kutoka Nigeria ni kuhusu ndugu pamoja na familia ya mzee huyo kuandaa mazishi yake.

Tarehe ambayo imepangwa kufanyika mazishi hayo ni January 30, ambayo ni kesho siku ya Ijumaa.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top