tiko
tiko
Lil Wayne
amemtaka jaji kuvunja mkataba wa lebel yao kwa kuwa hawajamlipa fedha
zake ili awe huru kufanya mambo yake baada ya kundi hilo kushindwa
kufanikisha Wayne kuachia album yake ya ‘Tha Carter V‘.
Mwanzoni
mwa wiki hii Lily Wayne alinukuliwa akisema baada ya Cash Money
kushindwa kumlipa pesa zake, ataondoka ndani ya kundi pamoja na wasanii Nick Minaj pamoja na Drake.
Hautopitwa
na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati
wowote kupitia Twitter, Instagram na Facebook ukijiunga na mimi
tiko
tiko
Post a Comment