Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

MDADA KAMA HUYO YUPO BONGO?

tiko tiko
indexJana rafiki yangu  flani kanambia kitu bado siamini. Kwanza ana mpenzi wake mdada mmoja supasta wa Bongo. Sasa eti jana mdada kamuomba jamaa hela ya kwendea saluni, jamaa akatoa laki moja akampa mupenzi aende saluni, mdada akapokea zile pesa lakini akachukua shilingi alfu kumi tu akamrudishia jamaa shilingi alfu tisini. Jamaa akashangaa akamuuliza mpenzi wake .’Vipi?”. Mdada msupasta akajibu ,’Mpenzi wangu shilingi alfu kumi tu inatosha saluni, hizo nyingine we kaa nazo tu” Swali je, huyu rafiki yangu anasema ukweli? Kuna mdada wa namna hii hapa Bongo?
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top