Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Mapinduzi Cup leo January 8, Azam FC Vs Mtibwa Sugar. Matokeo na pichaz hapa

tiko tiko
SAMSUNG
Michuano ya Kombe la Mapinduzi imeendelea leo ambapo timu ya Azam FC na Mtibwa Sugar FC wamekutana jioni ya leo January 8 ambapo dakika 90 ziliisha kwa droo ya kufungana goli 1-1 hivyo wakaingia hatua ya matuta.
Katika penati zilizopigwa, Mtibwa Sugar FC walishinda penati 7 huku Azam FC wakiangushwa kwenye hatua hiyo ya nusu fainali kwa kupata penati 6, ambapo kwa matokeo hayo Mtibwa wamefaniiwa kuingia hatua ya nusu fainali kwa kuishinda Azam.
SAMSUNG
Hivi ndivyo ubao wa matokeo ulivyoonyesha wakati wa #HalfTime
SAMSUNG
SAMSUNG
SAMSUNG
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top