tiko
tiko
Mwaka jana 2014 Paul na Anita walifunga ndoa ya kiutamaduni lakini jana January 22 walifunga ndoa rasmi ya kiserikali.
Furaha ya Paul haikuishia hapo, tumeona mastaa wakijinunulia magari ya kifahari kama Davido na Range Rover zake, Paul kajinunulia pikipiki pya aina ya BMW.
Ilikuwa simple tu, nimekusogezea pichaz za shughuli yao hapa.
Paul na Anita Okoye baada ya ndoa.
Peter, Paul na Anita Okoye.
Anita.
Hii ni pikipiki brand ya BMW aliyojinunulua Paul jana.
Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko
tiko
Post a Comment