tiko
tiko
Waziri wa mambo ya Ndani Mathias Chikawe ametoa tamko kuwa kutakua na operesheni ya kitaifa ya kuwasaka na kuwakamata waganga wa kienyeji wanaojihusisha na kupiga ramli ili kuwafikisha mahakamani.
Chikawe alisema watashirikiana na Chama cha watu wenye ulemavu kuwabaini wahalifu na kuwachukulia hatua ili kupunguza vitendo hivyo.
Nakuhakikishia kwamba nitakufikishia
kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote
kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko
tiko
Post a Comment