tiko
tiko
Akizungumza kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi mkoa wa PWANI, ULRITCH MATEI amesema watuhumiwa wa uhalifu huo wanadaiwa kuiba bunduki 5, risasi 60 na silaha zinazotumika kupiga mabomu ya machozi mbili.
Kamanda MATEI amesema polisi inaendelea na msako mkali kuwatafuta wahalifu wa tukio hilo huku akiwaomba wakazi wa mikoa ya PWANI, LINDI, MTWARA, DSM, na visiwa vya ZANZIBAR kushirikiana na polisi kutoa taarifa za watu watakaowatilia shaka.
Jeshi la polisi limeahidi kutoa zawadi ya shilingi MILIONI 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahalifu hao.
tiko
tiko
Post a Comment