tiko
tiko
Staa aliyejipatia umaarufu mkubwa kutokana na makalio yake, Agnes
Gerald ‘Masogange’ sasa amepaa kimataifa zaidi na kuwa gumzo hadi
Marekani baada ya hivi karibuni mtandao mmoja wa watu maarufu nchini
humo kumpa shavu.
Masogange aliripotiwa na mtandao wa Media Take Out na kumuelezea kuwa
ni staa mwenye makalio makubwa barani Afrika akitokea Tanzania.
Mbali na
maelezo kibao ya kusifia wowowo lake, mtandao huo uliposti picha kibao
za mwanadada huyo ambaye sasa anaishi Afrika Kusini akiweka mapozi
tofauti ya kimitego.
tiko
tiko

Post a Comment