Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Tumeona mastaa wakiwekeza kwenye miradi mbalimbali, Ferooz anakuja na biashara hii…

tiko tiko
IvestKwenye spika zako hajasikika muda mrefu kimuziki ingawa kuna story tofauti ambazo zimekua zikimhusisha staa wa Bongo Fleva, Ferooz ikiwemo inshu ya kuchimba madini na duka la nguo.
Ferooz_SafariGood news ambayo Ferooz leo ameshare nasi ni kuhusu biashara nyingine ambayo anategemea kuizindua Jumatano ya February 04, biashara ambayo anaifungua Ferooz ni biashara ya mgahawa ambao utakua ukihudumia maeneo ya Darfree Market.
Ferooz kasema mgahawa huo umegharimu kama milion 30 za Kitanzania na utakua ukitoa huduma ya chakula cha aina yoyote baada ya uzinduzi wake kufanyika.
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia Twitter, Instagram na Facebook ukijiunga na mimi
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top