Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

MSANII WA BONGO FLEVA TUNDA MAN KUFUNGA NDOA MWAKA HUU

tiko tiko
https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t1.0-9/10945545_876367452415400_7122387321165587572_n.jpg?oh=71298264913f7e2ac97772081991d5e4&oe=5549A0B1&__gda__=1431315675_b6eea972bcc8f82237eaa0a67fefd496
Msanii kutoka kundi la Tip Top Connection,Tunda Man amefunguka kuwa kati ya mipango yake aliyoifanya mwaka huu ni pamoja na kutarajia kufunga ndoa mwaka huu.
Akipiga story na 255 ya xxl alisema kuwa kila kitu kipo sawa na kinachosubiriwa ni siku yenyewe tu ifike.

‘’Kila kitu kipo tayari kinachosubiriwa ni siku yenyewe ya kufunga ndoa kwani ndiyo mipango yangu ya mwaka huu’’alisema Tunda Man.
Akizungumzia ishu ya kuwa kila msanii akioa hushuka kisanii alisema kuwa hafikirii kuwa atashuka kisanii kama akioa kwani ni jambo jema kila mtu lazima alipitie.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top