tiko
tiko
Hayo
yamesemwa bungeni mjini Dodoma Naibu waziri wa nchi ofisi ya waziri
mkuu mh Agrey Mwanry wakati akijibu swali la mbunge wa chilonwa mh
Hezekiah Chibulunje aliyetaka kufahamu sababu za serikali kushindwa
kupeleka bungeni muswada wa sheria kusudiwa huku ikiendelea na ujenzi wa
majengo ya wizara na taasisi za serikali katika jiji la Da es salaam.
Ameongeza
kuwa kuanzia mwaka wa fedha wa 2010/2011 serikali tayari imetoa agizo
la kuzuia ujenzi wa majengo mapya ya wizara katika jiji la Dar es
salaam.
Amesema
serikali itaweka utaratibu mahususi kupitia kanuni zinazotungwa na
waziri mwenye dhamana ya ustawishaji makao makuu kwa lengo la
kuharakisha na kuwezesha utekelezaji wa sheria ikiwemo ukomo wa muda
ambao serikali itahamia makao makuu ya nchi.
tiko
tiko

Post a Comment