Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Mateka Mwingine wa kijapani auawa kwa Kuchinjwa Shingo na Kundi la Kiislam la ISI Baada ya Japan Kukataa Kutoa Hela

tiko tiko
Taarifa za hivi punde zinabainisha kuwa mwandishi wa habari raia wa Japan aliyekuwa akishikiliwa na kundi linalojiita Islamic state of Iraq and the levant ameuawa kwa .....
kuchinjwa Shingo na kundi hilo..

Awali ISIL ilihitaji dola million Mia mbili kama kikombozi (ransom) ili kumwachia huru madai yaliyopingwa na Japana
Kenji goto anakuwa mjapani wa pili kuuawa katika kipindi cha mwezi mmoja na kundi hilo
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top