tiko
tiko
STAA wa
filamu Bongo, Aunty Ezekiel amewabwatukia watu waliomzushia kuwa
amejifungua na kusema kuwa anawaona kama wametumwa na mapepo wabaya.

Staa wa filamu Bongo, Aunty Ezekiel.
Akizungumza na Centre Spread, Aunty
alisema anawashangaa wanaokurupuka na kuzungumza kitu ambacho si cha
kweli kabisa na kwamba hakuna mtu ambaye alikuwepo siku aliyopata
ujauzito huo.
“ Nafikiri watakuwa na mapepo wabaya hao
wanaozungumza kitu ambacho si cha kweli. Hakuna mtu ambaye anajua
nilipata ujauzito lini na nitajifungua lini, waniache kabisa,” alisema
Aunty.
tiko
tiko
Post a Comment