Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

WANANCHI WA MAENEO YA MIRADI YA MAJI WATAKIWA KUTOZEMBEA KUJADILI MAENDELEO YA MIRADI

tiko tiko
Kiongozi wa ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi, akieleza jambo wakati alipowasili kwenye ofisi za
Halmashauri ya Wilaya ya Lindi tayari kukagua miradi ya maji.Kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Lindi Nassor Himid na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Lindi Mathei Makwinya.
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mwantumu Mahiza akiwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji waliotembelea mkoa huo kukagua baadhi ya miradi ya Maji iliyopo mkoani humo.
Ziara ya wajumbe wa kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji wakiwasili kwenye mtambo wa kusukuma maji wa Chikombe.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top