tiko
tiko
Vipuri vya gari hilo vinatengenezwa kwa
kutumia teknolojia ya 3D ambayo imetumia kuchapisha vipuri vya gari hilo
ambalo kwa muonekano ni kubwa lakini uzito wake ni mdogo sana
ukilinganisha na magari mengine.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Local Motors, Jay Rogers alisema gari hilo litaanza kuuzwa mwishoni mwa mwezi huu kabla ya kusambazwa kwenye soko la nje.
Nakuhakikishia kwamba nitakufikishia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia Twitter, Instagram na Facebook ukijiunga na mimi
tiko
tiko
Post a Comment