tiko
tiko
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Tom Borgols alikabidhi pikipiki hizo ambazo thamani yake ni Mil. 10 kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.
“Tunashukuru sana kwa hizi pikipiki, zitatusaidia sana kuboresha utendaji wa polisi, tutaendelea kuwa wadau wenu muhimu” — Waziri Mathias Chikawe.
Team ya NMB ipo Dodoma
kwenye mkutano huo huku huduma mbalimbali za Benki hiyo zikitolewa
kwenye mabanda kadhaa ya maonyesho nje ya ukumbi wa St Gasper ambapo
unafanyika mkutano huo.
Kaimu CEO wa NMB, Tom Borgols akiwa na IGP Ernest Mangu pamoja na Meneja wa NMB Dodoma, Ole Loibanguti.
Mabanda ya NMB Wakala yaliyopo nje ya Ukumbi wa St. Gaspar Dodoma ambapo unafanyika mkutano huo.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Tom Boghols akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe ufunguo wa pikipiki ambazo NMB imezitoa kwa Jeshi hilo. Yupo pia Mkuu wa Jeshi la Polisi, Ernest Mangu na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa
tiko
tiko
Post a Comment