Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Flora Mbasha: Hizo Stori Mnazosikia Hazina Ukweli Wowote na ndio Maana Niliamua Kukaa Kimya

tiko tiko
" Hizo stori mnazosikia hazina ukweli wowote na
ndio maana niliamua kukaa kimya sikutaka
kujibizana kwenye vyombo vya habari kwa uongo
wa baadhi ya magazeti ya udaku ila ninasikitika
sana kwani kuna watu wamekaa na kujipanga
kisawa sawa kwa ajili ya kuhakikisha wanaharibu
huduma yangu kwa gharama zozote, lakini bado
ninasonga mbele kwani mwanzilishi wa huduma
yangu ni Mungu na huyo ndiye atakayeimaliza na
sio mwanadamu "
Hayo alifunguka mwimbaji wa nyimbo za injili
Flora Mbasha
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top