tiko
tiko
Mtu na mkewe walifika katika kituo cha
Polisi kwa ajili ya kupeleka malalamiko ya mgogoro wa kifamilia
waliokuwa nao, wakiwa wanatoa maeleo kila mmoja, mwanaume aliomba
akachukue miwani yake ya kusomea katika gari, aliporudi alikuja akiwa na
bastola, akampiga mke wake na kumuua, kisha akawanyooshea askari
waliokuwa zamu, mwisho akajiua mwenyewe.
Watu hao walifikishwa katika kituo cha
Polisi wakiwa katika magari tofauti, walikuwa na ugomvi katika nyumba
yao Johannesburg ambapo Polisi walifika na kuamua kuwachukua kwenda nao
kituoni hapo ili wakatafute suluhu ya ugomvi huo.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia
mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram
na facebook ukijiunga na mimi
tiko
tiko
Post a Comment