Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

ZARI NA DIAMOND MGUU KWA MGUU, MBONA HAIKUWA HIVYO KWA WEMA SEPETU?

tiko tiko

Kama Bado Hujajiunga Nasi, Unaweza Kujiunga Hapa Nikutumie Habari Moja Kwa Moja ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..

KATIKA mambo yanawaacha hoi wapenzi wa pea ya Diamond Platnumz na Wema Sepetu ‘Madam’ ni ukaribu uliopo hivi sasa kati ya Zarina Hassan maarufu kama Zari ‘ The Boss Lady’ na nyota huyo wa muziki Afrika kwa sasa.


Zari ambaye alianza kuonekana na mkali huyo katika utolewaji wa tuzo za Channel O mwezi Novemba, amekuwa akimsindikiza Diamond katika kila shoo anayokwenda hivi sasa, ukilinganisha na ilivyokuwa kwa mpenzi wake wa siku nyingi Wema Sepetu kitu ambacho kimeleta maswali mengi kichwani kwa watu kama kweli alikuwa akimpenda kwa Dhati .

Je wewe una maoni gani juu ya Hilo Swala?

Kupata Habari Na Matukio Ya Kila Siku Like Page Yetu

tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top