tiko
tiko
Kama Bado Hujajiunga Nasi, Unaweza Kujiunga Hapa Nikutumie Habari Moja Kwa Moja ..Bofya HAPA ULIKE PAGE YETU!..


WATOTO wawili
wa familia moja, mmoja wa kike mwenye umri wa miaka minne na mwingine
wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja wameteketea kwa moto na mmoja
kujeruhiwa leo baada ya kibatari kulipuka na kuteketeza nyumba kijiji
cha Mbela wilayani Misungwi Mkoani Mwanza.
Kupata Habari Na Matukio Ya Kila Siku Like Page Yetu
tiko
tiko
Post a Comment