Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

YANGA YAICHABANGA PLATINUM 5-1

tiko tiko
Wachezaji wa Yanga wakishangilia mojawapo ya mabao yao.
Simon Msuva akiichambua ngome ya Platinum.
Amissi Tambwe akipambana na mabeki wa FC Platinum wakati wa mechi ya leo.
Hatuna Niyonzima akishangilia bao la pili aliloifungia Yanga.
Mrisho Ngassa akiipangua ngome ya Platinum.
Mashabiki wa Yanga roho safiiiiii... baada ya ushindi wa 5-1.
MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Yanga, leo wameichabanga FC Platinum ya Zimbabwe mabao 5-1 katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika.
Mchezo wa leo ni wa mzunguko wa kwanza wa kombe hilo kwa Yanga baada ya awali kuwatoa BDF XI ya Botswana kwa mabao 3-2.
Wafungaji wa mabao ya Yanga ni Salum Telela, Haruna Niyonzima, Amissi Tambe na Mrisho Ngassa (2) huku bao pekee la FC Platinum likiwekwa wavuni na Walter Musona.
(PICHA NA RICHARD BUKOS / GPL)
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top