Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Ray Feki Awatapeli Watu Facebook, Ray Waukweli Atoa Angalizo!

tiko tiko
“Wadau na wasanii wote mnaotaka kuigiza msidanganyike na account hii ya Facebook SIYO YANGU NI FAKE.
Maana napata tabu sana Ofisini kwangu watu wanakuja kudai Hela wakisema kuwa Eti Mimi nimetangaza usahili kupitia kwenye account hiyo hapo juu fake Kuwa nahitaji wasanii ni uongo mtupu mnaibiwa pesa zenu na namba anayotumia kuwaibia Watu Hela ni hiii hapa 0779 946440.
Msidanganywe ni matapeli hao Mimi Sijatangaza Chochote kwenye Facebook. Im done hope That You Have All understood Me”.
Muigizaji Vicent Kigosi ‘Ray’ aliandika hayo mtandaoni mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu ikionyesha account hiyo feki ilivyotoa tangazo hilo.
Jamani tuweni makini na matapeli kwenye mitandao ya kijamii.

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI KUHUSU HABARI HII

tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top