tiko
tiko

King Lawrence nae ametoka na hii….. Actually niseme Ivan katoka na hii. Maana naona katagiwa kabisaaaaa…..Lol…
Alafu
jamani hivi mmenotice kuwa ivan anaogopewa sana. Uwii some blogs naona
wanamtundika Lawrence kumtukana sababu ya kumtukana Zari wakati kila mtu
anajua anaemchamba Zari hapa ni Ivan.
Hii post ya leo ndo proof maana kaweka picha ya kakake IVAN na kamtag…. Embu nione sasa blogger mwenye ujanja wa kumtukana Ivan…hahahaha..Maana wanajua Zari atalala njaa wakimuuzi huyu jamaaa…….
Hii post ya leo ndo proof maana kaweka picha ya kakake IVAN na kamtag…. Embu nione sasa blogger mwenye ujanja wa kumtukana Ivan…hahahaha..Maana wanajua Zari atalala njaa wakimuuzi huyu jamaaa…….
I mean really, hivi hapa kama majibu si anatakiwa kupewa Ivan na sio King Lawrence?
Kwa
vile keshaamua kuzaa tumuombee azae salama ila huyu jamani mtasema
simpendi ila jamani tuweni wakweli tu jamani ,hivi kweli how can you
date a man for a few weeks sijui 2 months ukabeba na mimba jamani?
Mtu hujamsoma, hujaishi nae, hujamjua then unazaa nae? why??????????? Hata kama ndo kupenda kujulikana jamani kuna mipaka. Kuleta kiumbe duniani na mtu ambae hujakaa nae mkajuana vizuri. Is this normal????? kila mtu anajua mwanzo wa mapenzi huwa ni mtamu sana mtu unakuwa very excited yani mnaweza kuhisi mnapendana kama peremende ila mtu mzima na akili zako kweli ukazae na mtu hamjajuana hata tabia? This woman is not okay upstairs. Ngachoka (In Zinja’s voice).
Mtu hujamsoma, hujaishi nae, hujamjua then unazaa nae? why??????????? Hata kama ndo kupenda kujulikana jamani kuna mipaka. Kuleta kiumbe duniani na mtu ambae hujakaa nae mkajuana vizuri. Is this normal????? kila mtu anajua mwanzo wa mapenzi huwa ni mtamu sana mtu unakuwa very excited yani mnaweza kuhisi mnapendana kama peremende ila mtu mzima na akili zako kweli ukazae na mtu hamjajuana hata tabia? This woman is not okay upstairs. Ngachoka (In Zinja’s voice).
Like
I said kuanzia sasa tuweke comments zetu mpaka atakapo jifungua maana
mimba bado ndogo sana kaka Dai asije sema mimba ilitoka sababu tulimsema
sana akapata stress….
Hata huko insta pls tumuache mama kitumbo kipindi hiki asije pata matatizo….
tiko
tiko
Post a Comment