Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

Moja ya story za mitandaoni, ni dalili za mgogoro wa Jay na Bey

tiko tiko
NBA All-Star Game 2013Mara nyingi mastaa hawa Beyonce na Jay Z wamekuwa ni watu wa furaha na wakati wote huwa pamoja lakini ni mara chache kwa wawili hawa kuwakuta wakiwa wanagombana katika sehemu yenye mkusanyiko wa watu.
bey argung
Beyonce akizozana na Jay Z wakati wakipata chakula

Wakiwa ndani ya mgahawa wa Sushi iliopo LA wakipata chakula walionekana kutofautiana huku Bey akionekana kukasirika na kuwa mkali baada ya kuanzisha ugomvi huo dhidi ya mumewe.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top