Scanning..

LUCY KOMBA ANYOA RASTA KISA NDOA

tiko tiko
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Lucy Komba ambaye hivi karibuni alifunga ndoa na Janus Stanley, raia wa Denmark, amesema kuwa ameamua kunyoa rasta zake alizozifuga kwa muda mrefu kwa kile alichodai matakwa ya ndoa.
Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Lucy Komba.
Akizungumza na mwandishi wetu, Lucy alisema kuwa ameamua kunyoa nywele zake hizo kwa kuwa anaona ni mke wa mtu anatakiwa kubadilika na kuwa tofauti kidogo na alivyokuwa huko nyuma.
“Unajua lazima kuwe na tofauti kidogo, zamani na sasa, hivyo nimeamua kunyoa kuleta utofauti,” alisema Lucy.

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI KUHUSU HABARI HII



tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa 2025 Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top
Loading...