Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

KIBAKA ALA KICHAPO KWA WIZI WA TAA ZA GARI UPANGA, DAR

tiko tiko
Kibaka aliyetaka kuiba taa za gari akiwa amefungwa kamba sambamba na vifaa vyake vya uhalifu.
Taa ya gari ambayo tayari ilikuwa imefunguliwa na kibaka huyo.
Kibaka huyo akiwa chini ya ulinzi.
KIJANA mmoja anayedaiwa kuwa kibaka ambaye hakufahamika jina lake mara moja jana amepokea kichapo kutoka kwa wananchi baada ya kudaiwa kutaka kupora taa za gari la mwananchi mmoja maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam jana.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top