Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

DEREVA WA MKUU WA WILAYA MANYONI,SINGIDA AJIUA

tiko tiko

Muonekano wa Dereva huyo baada ya kujipiga risasi.

Dereva wa Mkuu wa Wilaya Manyoni, Singida amejiua kwa kujipiga risasi kichwani leo, chanzo bado hakijajulikana japo ameacha ujumbe kuwa asilaumiwe mtu.
Mtandao huu ulimpigia simu Mkuu wa Polisi Mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela alisema amesikia tukio hilo lakini hakuwa na uhakika. "Naomba mnitafute baadaye nitakuwa na maelezo ya tukio hilo," alisema.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top