tiko
tiko
Basi la abiria aina ya Toyota Coaster
lenye namba za usajili T 932 AFU linalofanya safari zake kati ya
Nanenane na Ng'ong'ona mkoani Dodoma limepata ajali leo baada ya
kuligonga treni na kupinduka maeneo ya Benki Kuu mkoani humo.
Baadhi ya abiria waliokuwa kwenye Coaster wamepata majeraha madogo huku wengi wao wakiwa salama.
tiko
tiko
Post a Comment