Realtime blog statistics Realtime blog statistics
Scanning..

AJALI COASTER YAGONGA TRENI DODOMA

tiko tiko
Basi la abiria aina ya Toyota Coaster likiwa limepinduka baada ya kuigonga treni.
Taswira baada ya ajali hiyo.
Wananchi wakiwa eneo la ajali hiyo.
Basi la abiria aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T 932 AFU linalofanya safari zake kati ya Nanenane na Ng'ong'ona mkoani Dodoma limepata ajali leo baada ya kuligonga treni na kupinduka maeneo ya Benki Kuu mkoani humo.
Baadhi ya abiria waliokuwa kwenye Coaster wamepata majeraha madogo huku wengi wao wakiwa salama.
tiko tiko

Post a Comment

CodeNirvana
© Haki Zote Zimeifadhiwa Kalamu 1 | designed by tabasamu na ∂αиιєℓι
Code Nirvana
Back To Top