tiko
tiko

Licha ya kutengana kwao kuna uvumi kuwa wapo katika kutoelewana,huku Nick Cannon akisema hana sababu ya kutumia mashairi ya albamu yake mpya atakayoitoa wakati wowote kumfikishia ujumbe mke wake huyo kutokana na tofauti zao.
Cannon aliandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa hajarekodi wimbo wowote wenye lengo la kumchafua Carey “Sitasema kitu chochote kibaya kuhusu Mariah Carey,sisi ni familia iliyotokea kwenye mizizi ya upendo’

Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi
tiko
tiko
Post a Comment