tiko
tiko
 Ukiimisi itakunyima  raha muda wote...ukiionja ndo kabisaa utatamani 
muda wote uipate...hata mimi natamani muda wote tupeane ila naogopa 
utaichoka haraka ..ila usijali nitakuwa nikikupatia hiyo SALAM kila siku
 angalau mara mbili..au vip....Teja alikuwa anavuta unga mixer bange ..ghafla akasikia sauti ya ajabu ina mwita..akauliza we ninani ..? akajibiwa ...mimi ni izraili mtoa roho ...! teja akajibu ..daaaaah..! umenishtua kinomaaaaaa kichaa wangu yaaaani...mwenzio nilijua polisi ....!
Hebu ashum umelala mdomo wazi mara panya katika kupitapita akadhani mdomo wako ni shimo akaingia ile unashtuka tu ukammeza mmmhh...utafanya nini ili atoke ..? uko tayari kumeza sumu ya panya ili afe au utammeza paka ili aende kumsaka huyo panya hadi amkamate...kazi kwako
chifu alitaka idadi ya makahaba katika kijij chake..makahaba walipokuwa kwenye foleni ya kuhesabiwa mara akapita bibi mmoja akamuona mjukuu wake katika foleni ..BIBI akauliza hapa kuna nini..?......Mjukuu wake akajibu..:chifu anakagua MAEMBE ...bibi nae akaunga kwenye foleni....chifu alipoanza kuhesabu akamuona yule bibi akamuuliza ..bibi nawewe upo humu...bibi akajibu..tena mimini fundi sana wa kunyonya na kulamba lamba mpaka kokwaaaaaaaa..."..chifu akabaki ooo mamaaa........!
mbele ya mtumishi wa mungu mume akafungua zipu naakaitoa...akaitazama kidogo kisha akaanza kuiingiza taratibu kwa mkewe,..mara mke akaanza kutokwa na machozi kwa raha aliyo ipata mpaka ikaingia yote na kukaa vizuri...watu hawakuamini kile kitendo cha mume kumuingiza mkewe ile pete ya dhahabu..wakabaki wanapiga vigeregere...cheki ulikuwa unawaza mbaaaaali acha fikra potofu wewe...
Mtalii kamuuliza kijana kwenye boti, do u know biology, psychology and criminology?
Kijana akajibu no, Mtalii akamwambia what the hell do u know on the face of this earth.?u wil die of illiteracy.! Baada ya muda boti ikaanza kuzama,
kijana akamwambia mtalii, do u knw swimmiology and escapology from crocodiology.?mtalii akajibu no,
kijana akamwambia u wil dieology and crocodiology wil eat ur bodyology because of your bad mouthology.
Hakuna asie jua kama NYUMA rah asana ,asikwambie mtu ..!
NYUMA  raha usifanye mchezo wewe ..huwa
natamani  ule utamu wa NYUMA muda wote
katika maisha yangu..NYUMA bhana achanipasifie, nisipopasifia  mie atapasifia nani tena mwenye kuujua utamu
wa NYUMA..? hebu fikiria…soda  sh
250…sukari robo sh 150..mafyta ya kula 
sh 100…mafuta ya taa kipimo sh 100….sabuni ya kipande sh 30..unga robo
150…daaaaaah..! maisha gani tena yatakuwa kama yalivyokuwa enzi za NYUMA….
daaah..! lione kwanza lilivyo kuwa likiwaza
mbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaali…..
RIDHIWANI KIKWETE 
BHANA  alijua mi nitababaika
sana..et jana kani inbox a kaniambia we dogo 
leo na kublock/unfriend …nikamwambia poa tu haina shida ,..haaah..! nashangaa
leo  asubuhi  kani inbox mara3 akaanza kujitetea “
ooh..zile hasira tu mtu wangu kama vip njoo ikulu tucheck movie..alafu mshua
nitamwambia akuweke kitengo cha kugawa mishahara ya wabungu….”
NIKAMCHANA “LIVE”.”.nikaushie bhana  maana ninamajembe kibao ambao nawakubali
sana..mfano kama huyu anaesoma PASUA MBAVU hii..na mengine kibao  ambayo hata facebook hayajaingia  kama vip we chapa mwendoooo….”
Eti jembe langu nimemjibu poa au ulitaka
nimshobokeeeeeeeee……?
Kuna bibi alipigwa mtama na kibaka then Yule kibaka akampola
sim bibi..BIBI alipoinuka akaanza kumfukuza Yule kibaka kimyakimya..baada ya
kuona bibi hachoki Yule kibaka akaweka sim chini na kuanza kukim bia tena
..yule bibi alipofika pale akaiyokota sim yake alafu akaendelea kumkimbiza Yule
kibaka….baada ya muda Yule kibaka akamuuliza bibi “wataka nini cm yako c
nimekurudishia,,? Bibi akajibu ..”BADO MTAMA.” 
Jamaa akachoka hoi ilibidi asimame 
…..otea kilichotokea hapo.
Daaaaaah…! Juzi alikuja mototo mmoja bhana home..mzee kama
kawaida yangu nikaanza MBELE  kidogo
akadai nimechoka, nikamgeuza NYUMA kabla sijamaliza nikaona bora nimuweke style
nyingine nilipomgeuza tu akanzaanza kulia daaaah…! Kumnyoa nywele motto mdogo
kweli kazi na kunahitaji uvumilivu nikamuacha akalale ili nimnyoe
vizuri…………………..acha kufikilia mayuc wewe 
Ifuatayo ni makala inayoelezea namana MAPENZI yalivyo kuwa
na  yalivyo katika vipindi tofauti tofauti
ya miaka..:
1970:….NIPENDE LAKINI USINIGUSE.
1980:…NIGUSE LAKINI USINIBUSU…
1990:…..NIBUSU LAKINI USIFANYE KITU KINGINE CHOCHOTE..
2000:….FANYA KILAKITU LAKINI USIMWAMBIE MTU YEYOTE…
2011:……FANYA KILA KITU LAA SIVYO  NITAMWAMBIA KILA MTU KUWA HUWEZI KUFANYA
CHOCHOTE..
2012:……FANYA KILA KITU LAKINI UKAE NAKUJUA  HAUKO PEKE  YAKO…..
Je mpenzi wako yupo katika mwaka upi………? 
Jenga picha ni asubuhiunaamka ..halafu unakuta umevaa pete
kidole cha pili, kasha unakuta ujumbu chini yam to umeandikwa
hiviiiiii,,,,”NAKUPENDA SANA KWA PENZI LAKO ULILONOPA USIKU WA LEO NIKAAMUA
KUKUVISHA HIYO PETE,NI MIMI NIKUPENDAE POPOBAWA..”  je wewe utachukuwa uwamuzi gani wa haraka
……..?
UNASAFARI KIKAZI:
Umemuaga mkeo' akalia sana atakumic sana kipindi utakacho kuwa safarini'' unafika airport unakumbuka umesahau documents muhimu unamwambia dereva akurudishe nyumbani unapofika unamkuta mkeo yuko bafuni kajipaka sabuni mapov paka uson unamnyatia polepole unamshika kiuno mkeo anataja jina la dereva anasema, WE DEO UMEKWISHA MFIKISHA YULE BWEGE NA UMERUD YANI UTANIFAIDI MWEZI MZIMA. JE ww utafanyaje??
Umemuaga mkeo' akalia sana atakumic sana kipindi utakacho kuwa safarini'' unafika airport unakumbuka umesahau documents muhimu unamwambia dereva akurudishe nyumbani unapofika unamkuta mkeo yuko bafuni kajipaka sabuni mapov paka uson unamnyatia polepole unamshika kiuno mkeo anataja jina la dereva anasema, WE DEO UMEKWISHA MFIKISHA YULE BWEGE NA UMERUD YANI UTANIFAIDI MWEZI MZIMA. JE ww utafanyaje??
BOY; ww dada ni mzurije
GIRL; aaw jamani ahsante sana
BOY; YANI HADI NATAMANI KUWE NA KITU KATI YANGU NA WW
GIRL; hata mm
BOY; kweli! kama kipi vile??
GIRL; UKUTA
BOY; ??!
GIRL; aaw jamani ahsante sana
BOY; YANI HADI NATAMANI KUWE NA KITU KATI YANGU NA WW
GIRL; hata mm
BOY; kweli! kama kipi vile??
GIRL; UKUTA
BOY; ??!
jamani
 majina ya viunga vya zanzibar mie mbavu sna, mwembe mimba, mchamba wima
 nk ila kali ni hii ya mzee mmoja wa unguja alikuwa akiwasimulia wenzake
 na mazungumzo yalikuwa kama hv: mwanangu mie nilimtia michenzani 
akafeli, nikamtia migombani akafeli na nilipomtia dole akafaulu na sasa 
yuko kidato cha nne. jamani hayo ni majina ya skuli
ilikuwa
 muda wa saa saba ucku,baada ya kumalza shughuli zake,dereva bodaboda 
aliingia bafuni kwa ajili ya kuoga.baada ya kujimwagia kopo la kwanza na
 la pili la maji alitoka bafuni mbio,huku akpga kelele''mamaaaaaa!!!! 
kuna majini huku bafuni''
majirani wakatoka kuja kusikiliza kuna nn hasa.wakamkuta akiwa uchi!
wakamuuliza kulikoni?Akajibu ''bafuni kuna majini,najimwagia maji kichwani lakini hayafki kwenye nywele'' Walipojaribu kmuangalia vizur wakagundua kumbe amesahau kuvua element!! hlw guys
majirani wakatoka kuja kusikiliza kuna nn hasa.wakamkuta akiwa uchi!
wakamuuliza kulikoni?Akajibu ''bafuni kuna majini,najimwagia maji kichwani lakini hayafki kwenye nywele'' Walipojaribu kmuangalia vizur wakagundua kumbe amesahau kuvua element!! hlw guys
Madenge
 alikua kwenye bac na abiria wengine wengi. Majambaz wakavamia na 
kuwapora cm pamoja na fidha na usipotoa  unachomwa sindano ya damu ya 
ukimwi. Wa2  wakatoa  lakini madenge hakutoa akachomwa ile sindano. Wa2 
wakamuuliza mbona umekubali kuchomwa. Akajibu"WALIKUWA HAWAJUI KAMA 
NIMEVAA KONDOM!!!?@@@@@.**
tiko
tiko

 
 
 
 
 
 
2 comments
imekaa poha sana hii
Replyumeona ehee
ReplyPost a Comment